Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Thursday, August 29, 2013

HUYU NDO MSANII ALIYEVUNJWA MKONO NA PRODUCER WAKE BAADA YA KUMLETEA KEJELI.




AMA KWELI MAISHA NI WATU,Leo yamemkuta aloimba mwenyewe.Huyu ndo Vumbe wa K Town aloimba Maisha ni watu.Duuh!! kuna Bonge la Biff kati yake na producer wake STIVE MWEUPE na Kesi ipo Polisi mpaka sasa.CHANZO BABAMZAZI.COM
Soma hapo Chini alichopost Vumbe kwa wall yake face book!!

Iko Hivi:ilikua mwz wa 11 mwaka jana nilienda kwa Stve White na kurecord winbo wa Maisha ni Watu.baada ya Muda akanambia virus wamekula folder la huo wimbo so inabid kurudiwa mi nikamwambia poa.siku tuliyopanga kwenda kurecord nafika studio naambiwa jamaa kasafiri nilipomtafuta hewan akawa hapatikani mi muda wa kuachia wimbo mpya ulifika.nikaamua kwenda studio nyingine kurekod sa majuz na shangaa baada ya kupigiwa sim na mtangazaji wa radio akiniambia bwana nimepokea wimbo wako mpya maisha ni watu rmx kumuuliza akanambia katumiwa na Steve White..nikampigia sim Steve hakupokea mi nikamfuata studio kumuuliza kwanini kafanya hivyo? wakati aliniambia huo wimbo umepotea??Ikawa kosa

Like ·  · 

1 comment:

  1. pole sana kijana. kila la kheri na kazi yako itafika mbele zaidi. naomba kama unayo ile audio aliyoiba jamaa (maisha ni watu)

    my email khankhamis@gmail.com

    ReplyDelete