Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Sunday, August 25, 2013

DILISH AIBUKA MSHINDI WA BIG BROTHER AFRICA 2013


Hatimaye mwakilishi kutoka Namibia Dilish ameibuka kuwa mshindi wa Big Brother Africa 2013......Hongera sana Dilish


The grand finale of reality TV show, Big Brother Africa went down with five finalists Beverly, Melvin, Cleo, Elikem and Dillish.
First to be evicted was Beverly, followed by Melvin, then Elikem, leaving Cleo and Dillish as the final two standing.
At the end of the day Cleo was evicted leaving Namibia’s Dillish as the housemate in the house making her the winner of the 8th season of Big Brother Africa, going home with the $300,000 prize.
1002888_652139781463814_12977466_n

Mshiriki kutoka Naibia "Dillish" ndio mshindi wa Big Brother Africa (the chase) alieondoka na dola 300,000 katika fainali zilizofanyika usiku huu (August 25th).
Dillish mwenye miaka 24, hajawahi kuwa head of the house hata siku moja katika siku zote 91 alizokuwa ndani ya jumba, alishawahi kuwa nominated mara 5 na mara zote alibaki kwa kura za Africa, na hajawahi kuwa na mahusiano na mshiriki yoyote.

Dillish amekuwa ni mwanamke wa pili kushinda BBA tangu ilivyoanzishwa, baada ya Cherise kutoka Zambia kushinda kwenye BBA season  7 zilizopita

katka top 5 waliobaki, alianza kutoka Beverly (Nigeria), akafatia Melvin (Nigeria) na watatu kutoka ni Elikem (Ghana) wa nne ni Cleo (Zambia) na hatimae Dillish kuwa mshindi wa BBA The Chase 2013

 
 Elikem(24)  alipigiwa kura nyingi za kuwa "the most romantic chasemate" ambae amepata trip ya ku-spend siku tano katika hotel kali iliyoko Mombasa, Kenya, kila kitu kikiwa kime coast dola 10,000 pamoja na pesa za kutumia wakati wote akiwa huko.
kwa kuwa anatakiwa aende na mtu mwingine mmoja, Elikem amemchagua mpenzi wake Pokelo (Zimbabwe) ambae amethibitisha kuachana na boyfriend wake kwasababu ya elikem.

Washiriki wengine wote waliobaki wameondoka na zawadi ya Uhuru Tablets waendelee kuwasiliana na mashabiki zao walioongezeka kwa kazi katika acc zao za mitandao ya jamii.

No comments:

Post a Comment