Foolish Age ni kazi mpya kutoka kwa Lulu itakayo tambulishwa na kuzinduliwa Dar es salaam tarehe 30 August 2013 Pale Mlimani City. Palikuwa na taarifa zisizo za ukweli kuwa filamu hii imesimamishwa na haitaonekana. Hizi sio Taarifa za ukweli. Ushaidi ndio huu, Lulu kapata Kibali Cha Kutoa Na Kuonyesha Filamu hii Ya Foolish Age.
WATENGEZAJI VIPULI VYA MITAMBO EACS WAMPONGEZA RAIS SAMIA KUWEKA MAZINGIRA
RAFIKI YA UWEKEZAJI
-
Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Kisasa kinachozalisha Vipuli vya Mitambo
cha East Africa Conveyor Supplies Limited (EACS), Peter Andrew Kumalilwa
akiel...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment