Hizi
ni baadhi ya maoni ya wasomaji wa mtandao wa Skynews.com juu ya tukio
la wasichana wawili wenye asili ya uingereza waliomwagiwa tindikali
katika kisiwa cha Zanzibar juzi.Wengi wao ni Waingereza wameonyeshwa
kukerwa na tukio la kinyama dhidi ya raia hao wa uingereza Kwa Habari
hiyo ya RAIA WA UINGEREZA KUMWAGIWA TINDIKALI BOFYA HAPA
Airtel, Huawei waimarisha ushirikiano kukuza mageuzi ya kidijitali Tanzania
-
KAMPUNI ya mawasiliano ya simu ya Airtel Tanzania na kampuni ya teknolojia
ya Huawei zimethibitisha upya dhamira yao ya kuendelea kuimarisha huduma za
maw...
21 hours ago






No comments:
Post a Comment