Hizi
ni baadhi ya maoni ya wasomaji wa mtandao wa Skynews.com juu ya tukio
la wasichana wawili wenye asili ya uingereza waliomwagiwa tindikali
katika kisiwa cha Zanzibar juzi.Wengi wao ni Waingereza wameonyeshwa
kukerwa na tukio la kinyama dhidi ya raia hao wa uingereza Kwa Habari
hiyo ya RAIA WA UINGEREZA KUMWAGIWA TINDIKALI BOFYA HAPA
Mfumo Mpya wa Kodi Kuleta Mapinduzi Makubwa ya Ukusanyaji wa Mapato Nchini.
-
Na Mwandishi Wetu
Hatua kubwa ya mageuzi ya kodi nchini imefikiwa kufuatia tangazo la kuanza
kutumika kwa mfumo mpya wa ukusanyaji wa kodi za ndani, hatua...
6 hours ago






No comments:
Post a Comment