Hizi
ni baadhi ya maoni ya wasomaji wa mtandao wa Skynews.com juu ya tukio
la wasichana wawili wenye asili ya uingereza waliomwagiwa tindikali
katika kisiwa cha Zanzibar juzi.Wengi wao ni Waingereza wameonyeshwa
kukerwa na tukio la kinyama dhidi ya raia hao wa uingereza Kwa Habari
hiyo ya RAIA WA UINGEREZA KUMWAGIWA TINDIKALI BOFYA HAPA
Rais wa Singapore awasili nchini kwa ziara ya Kitaifa ya siku tatu
-
Rais wa Jamhuri ya Singapore Mhe.Tharman Shanmugaratnam, amewasili nchini
kwa Ziara ya Kitaifa ya siku tatu, Juni 8-10, 2026.
Katika Uwanja wa Ndege wa...
9 hours ago






No comments:
Post a Comment