Pipa likiwa limeja taka
Tunawapongeza sana manispaa ya Kinondoni kwa wazo la kuweka mapipa ya taka katika vituo vya mabasi.Ila shida ni moja mapipa hayo yanawekewa taka mpaka yanajaa na hazitolewi kwa mda,kutokutolewa kwa mda taka izo husababisha kuanza kudondoka tena na mwishowe kusababisha uchafu tena.Maoni kuwe na usimamizi mzuri wa taka izo kutolewa kwa mda.PICHA NA DJ SEK BLOG
PICHA ZOTE NA .PICHA NA DJ SEK BLOG
‘’MSITOE MAAMUZI YA KUWAFURAHISHA WATU’’- DKT AKWILAPO
-
Na *Munir Shemweta, WANMM MTWARA*
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Leonard Akwilapoameshuhudia
uapisho wa wajumbe wa *Mabaraza ya Ardhi na...
12 minutes ago




No comments:
Post a Comment