Pipa likiwa limeja taka
Tunawapongeza sana manispaa ya Kinondoni kwa wazo la kuweka mapipa ya taka katika vituo vya mabasi.Ila shida ni moja mapipa hayo yanawekewa taka mpaka yanajaa na hazitolewi kwa mda,kutokutolewa kwa mda taka izo husababisha kuanza kudondoka tena na mwishowe kusababisha uchafu tena.Maoni kuwe na usimamizi mzuri wa taka izo kutolewa kwa mda.PICHA NA DJ SEK BLOG
PICHA ZOTE NA .PICHA NA DJ SEK BLOG
TAMWA Yakumbusha Historia ya Mapambano Dhidi ya Dhuluma kwa Wanawake na
Watoto
-
Mwasisi wa Chama Cha Wanahabari Wanawake Tanzania(TAMWA),Fatma Aloo
akizungumza wakati wa Iftari iliyofanyika katika Ofisi za TAMWA jijini Dar
es Salkaam ...
1 hour ago




No comments:
Post a Comment