Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Saturday, August 31, 2013

MAPIPA YA TAKA KITUO CHA MABASI MOROKO(KINONDONI)NI KERO

 Pipa likiwa limeja taka
 Tunawapongeza sana manispaa ya Kinondoni kwa wazo la kuweka mapipa ya taka katika vituo vya mabasi.Ila shida ni moja mapipa hayo yanawekewa taka mpaka yanajaa na hazitolewi kwa mda,kutokutolewa kwa mda taka izo husababisha kuanza kudondoka tena na mwishowe kusababisha uchafu tena.Maoni kuwe na usimamizi mzuri wa taka izo kutolewa kwa mda.PICHA NA DJ SEK BLOG
                                                     PICHA ZOTE NA .PICHA NA DJ SEK BLOG

No comments:

Post a Comment