Pipa likiwa limeja taka
Tunawapongeza sana manispaa ya Kinondoni kwa wazo la kuweka mapipa ya taka katika vituo vya mabasi.Ila shida ni moja mapipa hayo yanawekewa taka mpaka yanajaa na hazitolewi kwa mda,kutokutolewa kwa mda taka izo husababisha kuanza kudondoka tena na mwishowe kusababisha uchafu tena.Maoni kuwe na usimamizi mzuri wa taka izo kutolewa kwa mda.PICHA NA DJ SEK BLOG
PICHA ZOTE NA .PICHA NA DJ SEK BLOG
CEOrt Yasaini Makubaliano na CBE, IAA Kuendeleza sekta ya elimu, viwanda na
biashara
-
Mwenyekiti wa CEO Roundtable of Tanzania (CEOrt) David Tarimo na Mkuu wa
Chuo cha Uhasibu Arusha(IAA) Profesa Eliamani Sedoyeka wakibadilishana
hati ya...
35 minutes ago




No comments:
Post a Comment