PICHA: TAZAMA PICHA ZA VIDEO MPYA YA DIAMOND PLATNUMZ "NUMBER 1" ALIYOITENGENEZEA AFRIKA KUSINI
Diamond anatarajia kutengeneza tena vichwa vya habari pale
atakapoachia video ya wimbo mpya ‘Number 1′ aliyoshoot mwezi huu nchini
Afrika Kusini. Video hiyo ambayo Diamond anasemekana kutumia zaidi ya
shilingi milioni 50 kuikamilisha, imetengenezwa na kampuni ya Ogopa
Videos ya nchini Kenya. Hizi ni screenshots exclusive tulizozipata.
Arusha Yageuza Bodaboda Kuwa Fursa Mpya
-
Na Pamela Mollel,Arusha.
Jiji la Arusha limeanza ukurasa mpya katika sekta ya bodaboda baada ya Mkuu
wa Wilaya ya Arusha, Joseph Modest Mkude, kuzindua m...
-
*MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka
Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu
kwenye ukum...
No comments:
Post a Comment