PICHA: TAZAMA PICHA ZA VIDEO MPYA YA DIAMOND PLATNUMZ "NUMBER 1" ALIYOITENGENEZEA AFRIKA KUSINI
Diamond anatarajia kutengeneza tena vichwa vya habari pale
atakapoachia video ya wimbo mpya ‘Number 1′ aliyoshoot mwezi huu nchini
Afrika Kusini. Video hiyo ambayo Diamond anasemekana kutumia zaidi ya
shilingi milioni 50 kuikamilisha, imetengenezwa na kampuni ya Ogopa
Videos ya nchini Kenya. Hizi ni screenshots exclusive tulizozipata.
-
*MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka
Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu
kwenye ukum...
No comments:
Post a Comment