ANGALIA PICHA ::MAYAI YA BUNDI YALIYOKAMATWA KWENYE MECHI KATI YA YANGA NA MBEYA CITY
Mayai ya bundi yaliyopatikana katikati ya uwanja kabla ya mpira kuanza. Dereva wa Yanga, Maulid Makuti, akioshwa na daktari wa timu hiyo, Nassoro Matuzya baada ya kuchanwa na chupa mkononi. Mashabiki
wa Yanga wakijaribu kuvuka uzio kuingia kwenye eneo la mashabiki wa
Mbeya City ambako walikutana na kufanyiana vurugu kabla ya askari
kuingilia kati. Gari la mmoja wa mashabiki wa Yanga likiwa limepasuliwa kwa jiwe katika vurugu zilizotokea uwanjani hapo baada ya mchezo.
Mechi ya Mbeya City dhidi ya Yanga iliyochezwa juzi kwenye Uwanja wa
Sokoine jijini hapa na kumalizika kwa sare ya 1-1, ilikuwa na vurugu na
vituko vya hapa na pale kama picha zinavyojieleza.
Blog Zinazoanzia na Herufi ya W
-
*1. Wamtaani*
www.wamtaani.com
*2. Wanabidii Blog*
wanabidiiblog.blogspot.com
*3. Watanzania Waishio Nje ya Nchi*
watanzaniaughaibuni.blog...
-
*MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka
Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu
kwenye ukum...
No comments:
Post a Comment