Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Sunday, September 15, 2013

ANGALIA PICHA ZA WAZEE KIVUTIO KATIKA BONANZA LA SERENGETI SOKA FIESTA LEO


 Mchezaji wa Zamani Mzee Kondo akiwa katika jezi ya Timu ya Manchester United wakati wa bonanza la serengeti soka fiesta Mkoani Morogoro leo.Bonanza hilo limewavutia wakati wa manispaa ya Morogoro wa Rika Mbalimbali pamoja na wachezaji wa zamani wa timu za ligi kuu na ligi daraja la kwanza.
 Mchezaji wa zamani wa Timu ya Sunderlanda na Shujaa Mzee  Sadick Mwambeta naye akivaa tayari katika Bonanza na Serengeti Soka Fiesta
                        MATUKIO NA MICHAPO BLOG

No comments:

Post a Comment