Jukwaa litakalotumika katika Kilimanjaro Music Tour 2013 katika viwanja vya Leaders Club.
Muonekano wa jukwaa kwa pembeni
Mojawapo ya mabanda yatakayotumika kuuzia vinywaji wakati wa tamsha.
Nyamachoma tayari inaandaliwa kwa ajili ya wakazi wa Dar watakaojitokeza uwanja wa Leaders Club
Timu ya Amsha Amsha inayozunguka mtaani kwa ajili ya kuhamasisha mashabiki kujitokeza uwanjani
Timu ya Amsha Amsha inayozunguka mtaani kwa ajili ya kuhamasisha mashabiki kujitokeza uwanjani
DJ Mafuvu wa East Africa Radio na TV ambaye ndiye ataendesha shughuli nzima akiandaa vifaa vyake vya muziki
Wakazi Aenda Mahakamani Kupinga Hukumu ya Kesi ya Baba Levo
-
*Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.*
*Msanii wa muziki wa hip hop nchini, Wakazi (Webiro Wasira), ameanza rasmi
mchakato wa kisheria kupinga hukumu iliyot...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment