Jukwaa litakalotumika katika Kilimanjaro Music Tour 2013 katika viwanja vya Leaders Club.
Muonekano wa jukwaa kwa pembeni
Mojawapo ya mabanda yatakayotumika kuuzia vinywaji wakati wa tamsha.
Nyamachoma tayari inaandaliwa kwa ajili ya wakazi wa Dar watakaojitokeza uwanja wa Leaders Club
Timu ya Amsha Amsha inayozunguka mtaani kwa ajili ya kuhamasisha mashabiki kujitokeza uwanjani
Timu ya Amsha Amsha inayozunguka mtaani kwa ajili ya kuhamasisha mashabiki kujitokeza uwanjani
DJ Mafuvu wa East Africa Radio na TV ambaye ndiye ataendesha shughuli nzima akiandaa vifaa vyake vya muziki
Airtel, Huawei waimarisha ushirikiano kukuza mageuzi ya kidijitali Tanzania
-
KAMPUNI ya mawasiliano ya simu ya Airtel Tanzania na kampuni ya teknolojia
ya Huawei zimethibitisha upya dhamira yao ya kuendelea kuimarisha huduma za
maw...
1 day ago

No comments:
Post a Comment