Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Thursday, September 5, 2013

MJANE WA MIAKA 60 ANAOMBA MSAADA WA KUTIBIWA MKONO WAKE ULIYOANZA KUHARIBIKA BAADA YA KUJERUHIWA NA NYOKA WILAYANI CHUNYA TUNAOMBA RADHI KWA PICHA YA MKONO MTAKAYOIONA




Hivi ndivyo mkono wake ulivyo kwa sasa


 



Mwanamke Mjane FAINES NAMBEYE KAONGA [60] Mkazi wa kijiji cha IGUNDU Kata ya SANGAMBI Wilaya ya CHUNYA Mkoani MBEYA anawaomba wasamaria kumchangia pesa kwa ajili ya kupata matibabu baada ya kujeruhiwa  na nyoka alipokuwa amelala  chumbani kwake.

No comments:

Post a Comment