Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Sunday, September 15, 2013

NAIBU WAZIRI WA FEDHA ,MHE. SAADA SALUM MKUYA AFUNGUA MKUTANO WA KIKAO KAZI UNAOFANYIKA MJINI BAGAMOYO


bagamoyo 1128Janne Rajpar  mwenyekiti mwenza kwa upande wa wahisani katika kusimamia matumizi ya fedha za umma kutoka ujerumani.bagamoyo 1134Kutoka kushoto ni Bi Ingiahedi Mduma ,ambaye ni Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano serikalini, wakatikati ni Bi. Hannah Mwakalinga kutoka PPRA ambaye ni Mkurugenzi wa huduma za kiushirikiano na wakushoto kwake ni Bw. Malima Nkilijiwando ambaye ni Mkuu wa kitengo cha Mipango kutoka Kwa Mkaguzi mkuu wa Mahesabu, wakisikiliza kwa makini mada na maoni yaliyokuwa yakitolewa katika mkutano huobagamoyo 1142Wa kwanza kushoto ni Bw. Sebastian Ndandala ambaye ni  Kaimu msimamizi wa mradi wa maboresho ya fedha za umma( PFMRP) kwa upande wa serikali  na anayefuata ni Bi. Paddy Siyanga Knudsen ambaye ni msimamizi kwa upande wa Washirika wa maendeleo,wakisikiliza kwa makini mada na maoni yaliyokuwa yakitolewa katika kikao hichobagamoyo 1181Juma Salumu Maguru Mkurugenzi  Msadizi  idara ya Mipango Wizara ya fedha akitoa utangulizi kwa washiriki wa kikao hicho, hawapo kwenye picha.bagamoyo 1184Prof.Adolf F Mkenda Naibu Katibu Mkuu Wizara ya fedha akitoa mada  kwa washiriki wa mkutano huo, hawapo kwenye picha.bagamoyo 1185Naibu Waziri wa Fedha ,Mhe. Saada Salum Mkuya  akifungua mkutano wa kikao kazi unaofanyika hapa mjini Bagamoyo  kwa muda wa siku mbili. Kikao kazi hicho kitakuwa na jukumu  kubwa la kujadili ripoti ya kutathmini utendaji kazi wa mfumo wa usimamizi wa fedha za umma ambayo imeshakamilika( PEFA Report). Lengo kubwa la kikao hicho ni kutafuta ufumbuzi  wa matatizo ambayo yamebainishwa katika ripoti hiyo. Kikao hicho kitawashirikisha washirika wa maendeleo pamoja Wizara ya fedha yenyewe.IMG_7990Naibu Waziri wa Fedha ,Mhe. Saada Salum Mkuya  akiwa katika picha ya pamoja na wawakilishi kutoka Serikali ya  Tanzania pamoja na Washirika wa maendeleo kutoka nchi Wahisani.

No comments:

Post a Comment