Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Wednesday, September 4, 2013

Rais Dr. Jakaya Kikwete na Mama Salma Kikwete washiriki mazishi ya Askofu Mkuu wa Kanisa la EAGT Marehemu Dkt. Moses Kulola



 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakitoa heshima za mwisho na kuweka udongo katika kaburi la aliyekuwa Muasisi na askofu Mkuu wa Kanisa la EAGT Marehemu Dkt. Moses Kulola wakati wa ibada ya mazishi yake yaliyofanyika katika viwanja vya kanisa huko Bugando Mwanza leo.

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimfariji Bibi.Elizabeth Kulola mjane wa Marehemu Askofu Dkt.Moses Kulola,aliyekuwa muasisi na Askofu Mkuu wa Kanisa laEAG(T) wakati wa mazishi yake yaliyofanyika katika viwanja vya kanisa huko Bugando Mwanza leo. 
Picha na  Freddy Maro - Ikulu

No comments:

Post a Comment