Msanii Baba Levo ambaye pia ni moja kati ya wasanii wanaounda kampuni ya
Kigoma Allstars amesema Daimond amemwibia chorus yake nakuimba katika
wimbo wake mpya 'Number One' ambao umetoka hivi karibuni.Msanii huyo
ameandika hivi katika ukurasa wake wa 'facebook'
DKT. KIJAJI: USHINDI WA TUZO ZA UTALII DUNIANI NI MATUNDA YA FILAMU YA
'TANZANIA: THE ROYAL TOUR'.
-
Na Philipo Hassan – Dodoma
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) ameeleza kuwa
Tanzania kuibuka mshindi wa Tuzo mbalimbali za utalii...
1 hour ago


No comments:
Post a Comment