Msanii Baba Levo ambaye pia ni moja kati ya wasanii wanaounda kampuni ya
Kigoma Allstars amesema Daimond amemwibia chorus yake nakuimba katika
wimbo wake mpya 'Number One' ambao umetoka hivi karibuni.Msanii huyo
ameandika hivi katika ukurasa wake wa 'facebook'
RAIS SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA SADC ORGAN KWA NJIA YA MTANDAO
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
ambae pia ni Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya
Maend...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment