Msanii Baba Levo ambaye pia ni moja kati ya wasanii wanaounda kampuni ya
Kigoma Allstars amesema Daimond amemwibia chorus yake nakuimba katika
wimbo wake mpya 'Number One' ambao umetoka hivi karibuni.Msanii huyo
ameandika hivi katika ukurasa wake wa 'facebook'
HEMED CHALLE: TUFANYE SIASA ZA KISTAARABU, TUSICHUKIANE KWA SABABU YA
UCHAGUZI
-
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), Hemed Challe, amesema
kuelekea uchaguzi wa kura za maoni ndani ya Chama cha Mapinduzi ni jambo la
kawaida kuw...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment