BAADHI YA TASWIRA YA WARSHA YA WADAU WA SEKTA YA NISHATI
Baadhi
ya washiriki wa warsha ya pamoja kwa wadau wa sekta ya nishati
wakimsikiliza Katibu Mkuu wa wizara ya Nishati na Madini Eliakimu Maswi
(hayupo pichani) wakati akifungua mkutano wa saba uliofanyika leo
katika Hoteli ya Hyatt Regency iliyopo jijini Dar es Salaam. Serikali
imekamilisha utafiti katika vituo 52 vya kutoa umeme wa joto ardhi
(geothermal) na ifikapo mwakani uchimbaji wa umeme huo utaanza katika
vituo vitatu vilivyopo katika mkoa wa Mbeya, wilaya ya Rufiji na katika
ziwa Natroni lililo mkoani Manyara.
NYAKATI NGUMU HUPITA - ALI KAMWE
-
Licha ya kipigo kutoka kwa MC Alger, Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu
ya Yanga, Ali Kamwe, ameonyesha matumaini makubwa na kuhimiza mashabiki na
wan...
-
*MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka
Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu
kwenye ukum...
Majina ya Blog Zinazoanzia na Herufi I
-
*1. IMDB*
www.imdb.com
*2. IPP Media*
www.ippmedia.com
*3. Idhaa ya kiswahili DW.DE*
www.dw.de/idhaa-ya-kiswahili/s-11588
*4. Idawa Onlin...
No comments:
Post a Comment