Mama mmoja amepigwa risasi
na polisi kujeruhiwa vibaya
maeneo ya mapato arusha.chanzo cha
tukio hilo kinasema kwamba mama huyo alifika maeneo hayo na kupaki gari
yake akitaka kuingia bank lakini akaambiwa eneo hilo halifai kupaki gari,Mama
huyo alipaki gari na kuingia bank alipotoka alikuta gari lake limetolewa upepo
na ndipo vurugu ilianzaa baina yake yeye na polisi.Vurugu ilipokuwa kubwa mama
huyo aliwaambia polisi kwamba wasimtishie bunduki hata yeye anayo na alipotaka
kuitoa polisi wakampiga risasi.Mama huyo ni muuzaji maarufu wa madini jijini arusha.Mama huyo amekimbizwa hospitali na yupo chumba cha upasuaji.CHANZO CLOUDS FM
BARAZA LA USHINDANI LATOA ELIMU KWA WADAU DODOMA
-
*KATIBU Tawala wa Mkoa wa Dodoma Bw.Kaspar Mmuya,akisisitiza jambo wakati
akifungua semina ya baraza la ushindani (FCT) kwa wadau wa Mkoa wa Dodoma
len...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment