MSANII mahiri wa Muziki wa Kizazi Kipya, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' leo ametua nchini akiambatana na ndugu yake pamoja na rafiki yake wakitokea nchini China. Msanii huyo pamoja na alioambatana nao, wamewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere majira ya saa nane mchana ambapo wamelakiwa kwa shangwe na mama mzazi wa Diamond, Sanura Kassim 'Sandra'. Akiongea na Mtandao huu, Diamond ameeleza kuwa alienda nchini China kwa ajili ya mapumziko. Akiwa China, Diamond alikutana na mpenzi wake wa zamani Wema Sepetu 'Madam' na kuonekana wapo 'close' jambo lililoashiria kuwa wawili hao wamerudiana.
Waziri Kapinga: Mbolea Hai iwe na Ubora kwa Maslahi ya Wakulima
-
*Na Mwandishi Wetu, Kibaha*
*WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, ameitaka Tanzania Biotech
Production Ltd (TBPL) kuhakikisha inazingatia ubor...
12 hours ago





No comments:
Post a Comment