Mtoto
Honolina Christian miaka 11 mkazi wa mgeta Mkoani Morogoro anaomba
msaada kwa wasamaria wamsaidie kupata fedha za matibabu ya maradhi yake
yanayomsumbua tangu alipozaliwa mama mzazi wa mtoto huyo Grace John
kutoka mgeta anasema mwanae anateseka kwa muda mrefu hivyo anaomba
asaidiwe ili apate kutibiwa
DKT.NCHIMBI ASHIRIKI KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA CCM MKOANI DODOMA
-
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa (CCM)
ambaye ni mlezi wa CCM Mkoa wa Dodoma, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano ...
11 hours ago





No comments:
Post a Comment