Mtoto
Honolina Christian miaka 11 mkazi wa mgeta Mkoani Morogoro anaomba
msaada kwa wasamaria wamsaidie kupata fedha za matibabu ya maradhi yake
yanayomsumbua tangu alipozaliwa mama mzazi wa mtoto huyo Grace John
kutoka mgeta anasema mwanae anateseka kwa muda mrefu hivyo anaomba
asaidiwe ili apate kutibiwa
JAB yawapa somo la sheria ya Huduma za Habari wanafunzi UDSM
-
*Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.*
*Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB),
Wakili Patrick Kipangula, amewahimiza wanafun...
38 minutes ago





No comments:
Post a Comment