Mtoto
Honolina Christian miaka 11 mkazi wa mgeta Mkoani Morogoro anaomba
msaada kwa wasamaria wamsaidie kupata fedha za matibabu ya maradhi yake
yanayomsumbua tangu alipozaliwa mama mzazi wa mtoto huyo Grace John
kutoka mgeta anasema mwanae anateseka kwa muda mrefu hivyo anaomba
asaidiwe ili apate kutibiwa
MIAKA 18 BAADAYE: JK AKUTANA TENA NA CATHERINE, BINTI ALIYEFANYIWA UPASUAJI
WA MOYO AKIWA NA MIAKA MINNE
-
RAIS mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, leo Mei 29, 2026
amekutana tena na Bi. Catherine P. Conrad Minja, aliyefanyiwa upasuaji wa
moy...
1 day ago





No comments:
Post a Comment