Girl Friend wa msanii wa bongo fleva 'Diamond' leo jioni amenitumia text kunifahamisha kuwa ' Alikuwa Kazini Siku Nzima Na Kuwa Hajapata Tatizo Lolote Leo Kuhusu Afya Yake. Taarifa Zilizo Sambaa Kuwa Alizimia Na Kupelekwa Hospitalini Sio Za Kweli Kabisa.
Tanzania na Rwanda Zaimarisha Ushirikiano: Biashara, Nishati na Udugu wa
Kihistoria Wawekwa Mbele
-
Na Janeth Raphael- MichuziTv
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan,
amesisitiza kuwa uhusiano kati ya Tanzania na Rwanda haui...
9 hours ago



No comments:
Post a Comment