Girl Friend wa msanii wa bongo fleva 'Diamond' leo jioni amenitumia text kunifahamisha kuwa ' Alikuwa Kazini Siku Nzima Na Kuwa Hajapata Tatizo Lolote Leo Kuhusu Afya Yake. Taarifa Zilizo Sambaa Kuwa Alizimia Na Kupelekwa Hospitalini Sio Za Kweli Kabisa.
Ridhiwani Awataka Wanafunzi wa Sheria Kujenga Taaluma kwa Nidhamu, Ubunifu
na Uzalendo
-
*Na Jawadu kinyobwa - Dsm*
*Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete amewataka Wanafunzi wa ...
3 hours ago



No comments:
Post a Comment