Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Thursday, October 10, 2013

PENNY AFUNGUKA....ASEMA NI UONGO NA UZUSHI KWAMBA KAKIMBIZWA HOSPITALI BAADA YA KUONA PICHA ZA DIAMOND NA WEMA ISHU NZIMA HII HAPA


Girl Friend wa msanii wa bongo fleva 'Diamond' leo jioni amenitumia text kunifahamisha kuwa ' Alikuwa Kazini Siku Nzima Na Kuwa Hajapata Tatizo Lolote Leo Kuhusu Afya Yake. Taarifa Zilizo Sambaa Kuwa Alizimia Na Kupelekwa Hospitalini Sio Za Kweli Kabisa. 

No comments:

Post a Comment