Girl Friend wa msanii wa bongo fleva 'Diamond' leo jioni amenitumia text kunifahamisha kuwa ' Alikuwa Kazini Siku Nzima Na Kuwa Hajapata Tatizo Lolote Leo Kuhusu Afya Yake. Taarifa Zilizo Sambaa Kuwa Alizimia Na Kupelekwa Hospitalini Sio Za Kweli Kabisa.
GEITA DC KINARA NAMBA MOJA MATUMIZI SAHIHI YA MIFUMO YA MAMLAKA YA SERIKALI
MTANDAO (eGA)
-
Mkutano wa 6 wa Serikali Mtandao umemalizika Februari 19, 2026, huku
Halmashauri ya Wilaya ya Geita ikitangazwa kuwa Mshindi Namba Moja kati ya
Halmashauri...
9 hours ago



No comments:
Post a Comment