Balozi
Abraham Isaac Sepetu amefariki dunia mapema leo akiwa katika hospitali
ya TMJ alikokuwa amelazwa akitibiwa ugonjwa wa Kisukari na kiharusi
alioupata hivi karibuni mjini Zanzibar. Balozi Sepetu, ambaye pia ni
baba mzazi wa Miss Tanzania 2006, Wema Isaac Sepetu, hadi anapatwa na
ugonjwa na hatimaye mauti, alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya
Mamlaka ya Uwekezaji wa Vitega Uchumi Zanzibar. PICHA: Maktaba
MIAKA 18 BAADAYE: JK AKUTANA TENA NA CATHERINE, BINTI ALIYEFANYIWA UPASUAJI
WA MOYO AKIWA NA MIAKA MINNE
-
RAIS mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, leo Mei 29, 2026
amekutana tena na Bi. Catherine P. Conrad Minja, aliyefanyiwa upasuaji wa
moy...
15 hours ago


No comments:
Post a Comment