Balozi
Abraham Isaac Sepetu amefariki dunia mapema leo akiwa katika hospitali
ya TMJ alikokuwa amelazwa akitibiwa ugonjwa wa Kisukari na kiharusi
alioupata hivi karibuni mjini Zanzibar. Balozi Sepetu, ambaye pia ni
baba mzazi wa Miss Tanzania 2006, Wema Isaac Sepetu, hadi anapatwa na
ugonjwa na hatimaye mauti, alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya
Mamlaka ya Uwekezaji wa Vitega Uchumi Zanzibar. PICHA: Maktaba
VIJANA WAADHIMISHA SIKU YA KUZALIWA RAIS SAMIA, WATAJA FAIDA ZA UONGOZI
WAKE KWA MAENDELEO YA TAIFA
-
Na Mwandishi Wetu Michuzi Tv
VIJANA nchini wameungana kuadhimisha Siku ya Kumbukizi ya kuzaliwa Rais
Dkt. Samia Suluhu Hassan, wakisema kuwa ni kiongozi m...
6 hours ago


No comments:
Post a Comment