HUYU NI MTANZANIA ALIYEVAMIWA HAPA NAIROBI NA KUUMIZWA VIBAYA HAPO JANA NA AMEJITAMBURISHA KWA POLICE WALIOMUOKOTA KAMA DR.JUMA MALIKI .TUNAPENDA KUWAOMBA YEYOTE ANAYEMFAHAMU AWASILIANE NA NA NDUGU ZAKE MAANA ANA HALI MABAYA NA HAKUNA ALIYEJITOKEZA KUMJUA .AMELAZWA HAPA KENYATTA NATIONAL HOSPITAL.NA HAKUNA TAARIFA ZAIDI YA HIZI.(na kwa sasa hawezi kuongea)
Airtel, Huawei waimarisha ushirikiano kukuza mageuzi ya kidijitali Tanzania
-
KAMPUNI ya mawasiliano ya simu ya Airtel Tanzania na kampuni ya teknolojia
ya Huawei zimethibitisha upya dhamira yao ya kuendelea kuimarisha huduma za
maw...
20 hours ago

No comments:
Post a Comment