Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Thursday, November 21, 2013

TWEETS::HIKI NDICHO ALICHOKIANDIKA REGINALD MENGI NA AFANDE SELE KUHUSU WAZIRI MUHOGO JUU YA UMEME

twitter 
Mikoa mbalimbali ya Tanzania sasa hivi ipo kwenye mgao wa umeme wa siku kumi uliotangazwa na Tanesco siku kadhaa zilizopita ambapo maeneo mengine wamelalamika umeme kukatika kwa zaidi ya saa 15.
2 1

No comments:

Post a Comment