Leo katika pitapita zangu mtandaoni nikakutana na picha hiyo hapo chini
kutoka kwa msanii Young Killer mwenyewe anapenda kujiita Handsome Boy
asiye na matunzo. Maelezo katika picha hiyo yalisema ''ASANTE.......MZIK mungu barik kazi ya mikono yangu'' na
katika picha hiyo alikua kakaa juu ya gari aina ya Toyota IST.
Nikajiuliza je ni kweli Young kanunua gari au alikua akimaanisha
vingine. Kama ni kweli gari ile ni yake basi huuni mwanza mzuri kwake na
ni kithibitisho tosha kua mziki wa bongo unalipa. Team yetu inafanya jitihada za kumtafuta ili atujuze zaidi. Mungu ambariki sana
Young Killer
MAOKOTO YAMEONGEZWA MERIDIANBET KASINO NA EXPANSE TOURNAMENT.
-
MERIDIANBET Kasino ya Mtandaoni kuna shindano la Expanse ambalo mwanzo
maokoto yalikuwa mengi lakini, Bosi kacheka ameamua kuongeza pesa na sasa
kuna juml...
44 minutes ago
No comments:
Post a Comment