
Rage ameyasema hayo kwenye kipindi cha SPORTS XTRA cha CLOUDS FM wakati akifanya mahojiano na Alex Luambano kuhusiana na maswala mbali mbali yanaihusu klabu iyo likiwemo la ada ya uhamisho wa mshambuliaji Emmanuel Okwi na klabu ya Etoile Du Sahel ya Tunisia,Rage amesema klabu ya Simba bado inaidai pesa hizo Etole na leo hii wametuma faranga za Uswiss 5,000 makao makuu ya shirikisho la soka ulimwenguni FIFA kama ada ya jaji atakayelishughulikia swala la madai yao.

No comments:
Post a Comment