Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Wednesday, January 1, 2014

MWAKA MPYA 2014 WAANZA KWA AJALI MBAYA IRINGA NI DAKIKA 20 BAADA YA MWAKA MPYA


Hii ni ajali mbaya ya  piki piki iliyotokea  eneo la  Ilala katika Manispaa ya  Iringa  ikiwa ni dakika 20 baada ya  kuaga mwaka  2013 na kuukaribisha  mwaka  2014
Wasamaria  wema  wakisaidia  kushusha majeruhi ambao wamepata ajali ya pikipiki usiku  huu  wakati wakiuanga mwaka 2013 na kuukaribisha mwaka 2014  leo mjini Iringa     

PONGEZI JESHI LA POLSI IRINGA GARI LILILOSABABISHA AJALI YA BODABODA YAPATIKANA USIKU HUU


 Chanzo;Fransis godwin blog

TUNAOMBA BOFYA HAPA NA ULIKE PAGE YETU KWA HABARI NYINGI ZA KILA SIKU,(USIPITWEEEEEEEE)
  

No comments:

Post a Comment