Wakazi
wa maeneo mbali mbali ya jiji la Dar wakiwa kwenye kituo cha basi cha
Mbezi mwisho asubuhi hii kusubiria usafiri wa kwenda mjini Dar es salaam
kwa shughuli mbalimbali. Hali kama hii utaikuta maeneo ya
Mbagala, Gongo la Mboto, Temeke Mwisho na kwingineko katika muda huu.
Jioni halihii huonekana Posta Mpya, Mnazi Mmoja na Msimbazi. Je, nini
kifanyike kupunguza adha hii? Na hao ni abiria wa mabasi, bado wenye
magari binafsi na usafiri mwingine, wote wakielekea katikati ya jiji.
RC TANGA DKT.BATILDA BURIAN ATAKA KAZI ZIFANYIKE USIKU NA MCHANA MRADI
UJENZI WA BWAWA LA UMWAGILIAJI MKOMAZI
-
Na Oscar Assenga, KOROGWE.
MKUU wa Mkoa wa Tanga Balozi,Dkt Batilda Burian amemtaka Mkandarasi
anayesimamia mradi wa Ujenzi wa Bwawa la Umwagiliaji la ...
1 hour ago





No comments:
Post a Comment