Wakazi
wa maeneo mbali mbali ya jiji la Dar wakiwa kwenye kituo cha basi cha
Mbezi mwisho asubuhi hii kusubiria usafiri wa kwenda mjini Dar es salaam
kwa shughuli mbalimbali. Hali kama hii utaikuta maeneo ya
Mbagala, Gongo la Mboto, Temeke Mwisho na kwingineko katika muda huu.
Jioni halihii huonekana Posta Mpya, Mnazi Mmoja na Msimbazi. Je, nini
kifanyike kupunguza adha hii? Na hao ni abiria wa mabasi, bado wenye
magari binafsi na usafiri mwingine, wote wakielekea katikati ya jiji.
NBAA yawanoa watumishi wa NAOT Dodoma
-
BODI ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) inaendesha
warsha ya mafunzo ya siku tano kwa watumishi wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi
(NAO...
31 minutes ago
No comments:
Post a Comment