Wakazi
wa maeneo mbali mbali ya jiji la Dar wakiwa kwenye kituo cha basi cha
Mbezi mwisho asubuhi hii kusubiria usafiri wa kwenda mjini Dar es salaam
kwa shughuli mbalimbali. Hali kama hii utaikuta maeneo ya
Mbagala, Gongo la Mboto, Temeke Mwisho na kwingineko katika muda huu.
Jioni halihii huonekana Posta Mpya, Mnazi Mmoja na Msimbazi. Je, nini
kifanyike kupunguza adha hii? Na hao ni abiria wa mabasi, bado wenye
magari binafsi na usafiri mwingine, wote wakielekea katikati ya jiji.
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
-
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya MiXX imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya
"Kombe la Dunia ya Ikiingia Tu... Golii!", inayowapa nafasi ya kujis...
15 hours ago





No comments:
Post a Comment