Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, January 17, 2014

MAKAMANDA WA JUU WAFUTWA KAZI JESHI LA NIGERIA

Rais wa Nigeria, Goodluck Jonathan, amewafuta kazi makamanda wake wakuu wa jeshi ,na kufanya mabadiliko ambapo amemteuawa mkuu wake wa ulinzi, wakuu wa majeshi ya anga na majini .Hakuna sababu iliyotolewa kuhusu hatua hiyo .
Mkuu wa mpya wa majeshi Alex Badeh, anatoka kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.


Jeshi la Nigeria limekuwa likihangaika kudhibiti uasi wa kundi la kiislam la , Boko Haram, ambalo limekuwa likiendesha harakati zake zaidi katika maeneo ya Kaskazini Mashariki mwa nchi.

No comments:

Post a Comment