BREAKING NEWS: WATU 12 WAKAMATWA NA SHEHENA KUBWA YA MADAWA YA KULEVYA WAKIYAINGIZA ZANZIBAR
Picha kutoka Maktaba
Watu
12, wanaodaiwa kuwa ni raia wa Iran na Pakistan wamekamatwa na shehena
kubwa la madawa ya kulevya katika Bahari ya Hindi wakiwa wanaelekea
Zanzibar kwa jahazi.
-
*MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka
Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu
kwenye ukum...
No comments:
Post a Comment