Mhe Mhmoud Thaib Kombo, akiapishwa na Spika wa Baraza la Wawakilishi
kuwa Mwakilishi wa Jimbola Kiembesamaki, baada ya kushinda Jimbo hilo na
kuwa Mwakilishi Mpya kuchukua nafasi ya aliyekuwa mwakilishi wa jimbo
hilo Mhe. Mansoor Yussuf Himid.
Waheshimiwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar wakifuatilia
kuapishwa kwa Mhe. Mahmoud Thaib Kombo, baada ya kushinda uchaguzi mdogo
wa jimbo la kiembesamaki Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi
CCM.
Mhe. Spika wa Baraza la Mapinduzi Pandu Ameir Kificho akimkabidhi
Vitendea Kazi vya Baraza la Wawakilishi Mwakilishi wa Jimbo la
Kiembesamaki Zanzibar Mhe. Mahmoud Thabit Kombo.baada ya kuapishwa kuwa
Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi.
Mhe. Mahmoud Thabit Kombo akiwa katika picha ya pamoja na familia yake
na Waheshimiwa wa Baraza nje ya Ukumbin wa Baraza la Wawakilishi baada
ya kuapishwa.
Wananchi wa Jimbo la Kiembesamaki wakimshangilia Mwakilishi wao nje ya Majengo la Baraza la Wawakilishi.
Mhe. Mahmoud Thabi Kombo akiwashukuru wananchi wa jimbo la kiembesamaki
kwa mashirikiano yao tangu mwazo wa kampeni hadi kupiga kura na
kumchagua kuwa mwakilishi wao.

No comments:
Post a Comment