Anaweza kuwa ametajwa zaidi kwenye tuzo za KTMA 2014 lakini Diamond Platnumz hajaliacha Baraza la Sanaa Tanzania likae kwa amani kwa uonevu ilioufanya kwa Jux, Madee na Snura kutokana na kuziondoa nyimbo zao kwenye mchakato wa KTMA 2014.
Kupitia Instagram, Diamond ameandika:
Ikiwa kweli tunalengo la kutoipotosha kimaadili jamii yetu na vizazi vyetu pendwa, nafikiri ni vyema tungeanza kuzuia Video na nyimbo za kutoka nje, kuliko kuzuia nyimbo na video za nyumbani ambazo uchafu wake Haufikii hata robo ya uliopo kwenye Nyimbo zinazopewa kipaumbele toka nje… Hii ni sawa na kuzidi kuukuza mziki wa nje huku tukiudidimiza na kuua mziki wetu… Will the target of reaching our goals ever be achieved?? #Ni_Mtazamo_tu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
UKOSEFU wa choo ni tatizo sugu miongoni mwa watu wengi. Bila kujua kuwa ni tatizo ambalo linahitaji tiba ya haraka, watu wengi hupuuzia...
-
Abiria wakioka kwenye gari kupitia madirishani. Aha! kila mmoja akichomoka kujiokoa. Basi la RATCO linalofanya safari zake Dar...
-
Waziri wa uchukuzi Mh.Dk. Harrison Mwakyembe ameridhia hatua ya mamlaka ya udhibiti usafiri wa nchi kavu na majini ( SUMATRA ) ya kuzuia ...
-
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu akiwa katika daraja la Chimate ambalo mbao zake zimeoza na kupelekea kuhatarisha usalama wa ...
sek design. Powered by Blogger.
Followers
Social Icons
On Twitter
Total Pageviews
My Blog List
-
SERIKALI YATOA MAAGIZO TISA KWA WAKUU WA TAASISI ZA UMMA - Kibaha, Pwani, Oktoba 7, 2024. Serikali imetoa maagizo tisa kwa watendaji wakuu wa taasisi, mashirika ya umma na wakala wa serikali kwa lengo la kuongeza u...4 hours ago
-
WANANCHI ZANZIBAR WAJITOKEZA KUBORESHA DAFTRARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA - *Wananchi wa Jimbo la Paje lililopo katika Wilaya ya Kusini,Mkoa wa Kusini Unguja wakiwa katika moja ya vituo kujiandikisha na kuboresha taarifa zao kwen...6 hours ago
-
Siasa : Balozi Dkt. Nchimbi Aanza Ziara ya Siku Tatu Simiyu - Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akizungumza na wananchi wa Lamadi, Wilaya ya Busega, Mkoa wa Simiyu, leo t...1 day ago
-
RUKWA KUPATA UMEME WA UHAKIKA : JIWE LA MSINGI LAWEKWA KATIKA MRADI MKUBWA - Na Khadija Dalasia Mkoa wa Rukwa unatarajia kupata umeme wa uhakika baada ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mheshimiwa Dr.Dotto Mashaka Biteko, kuw...2 months ago
-
Julai 4 Kila Mwaka ni siku ya Maadhimisho ya Uhuru wa Marekani - Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Mh Januhary Makamba akizungumza katika *katika hafla ya kuadhimisha siku ya Uhuru wa Marekani maarufu kama Julai 4, ...3 months ago
-
Majina ya Blog Zinazoanzia na Herufi Z - *1. **Zanzi News* *www.zanzinews.com* *2. **ZIFF* *www.ziff.or.tz*7 months ago
-
JUMUIA YA WAFANYABIASHARA YAPINGA MAANDAMANO YA CHADEMA - *Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania Hamisi Livembe akizungumza na wanahabari wa mkoa wa Lindi Januari 19, 2024* *Na Ahmad Mmow, Lindi.* Jum...8 months ago
-
-
RAIS MAGUFULI NA HISTORIA ISIYOFUTIKA - Na Emmanuel J. Shilatu Kama ambavyo Watanzania tunavyomkumbuka Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere kwa kusaidia ukombozi wa upatikanaji wa uhur...6 years ago
-
-
BLOGU YA LEWIS MBONDE BLOG YASITISHA KUTOA MAUDHUI MTANDAONI - Kutokana na matakwa ya kisheria ya maudhiu ya kutoa huduma za kimtandao bila kuwa na leseni iliyotolewa na mamlaka ya udhibiti wa huduma za mawasiliano t...6 years ago
-
-
Shilole Achora Tatoo ya Mwisho Yenye Jina la Mumewe - Mwanamuiki wa kike ambae pia ni mjasiriamali, Shiloleh ameonyesha tatoo aliyochora kwenye mwili wake yenye jina la mume wake mpendwa uchebe yenye jina ‘AS...6 years ago
-
“AFRICAN BEAUTY” IS JUST ANOTHER ONE FROM DIAMOND PLATNUMZ & OMARION WHICH MIGHT BE THE JAM OF THE CONTINENT - The Tanzania Recording Artist Diamond Platnumz released “African Beauty” off his just premiered album “A Boy From Tandale”. The album features Top Artist...6 years ago
-
Mashabiki hawajui, kukaa kimya kwenye muziki sio kupotea kwenye muziki – Ommy Dimpoz - Muimbaji Ommy Dimpoz amesema ukimya wake kwenye muziki sio kwamba alipotea bali alikuwa anafanya mambo mengine nje ya muziki. Ommy Dimpoz amesema watanz...7 years ago
-
KARIBU ruvumahabari.blogspot.com kwa habari na matukio zaidi - *KARIBU ruvumahabari.blogspot.com kwa habari na matukio zaidi*8 years ago
-
-
-
-
-
-
No comments:
Post a Comment