Mhe. Lowassa anaheshimu maoni ya watu na nguvu ya mitandao ya kijamii, lakini anasisitiza umuhimu kwa wananchi kutumia nguvu hiyo ya mitandao kwa kujadili maendeleo ya nchi yetu badala ya kuwa watu wa kuzusha mambo yasiyo na tija kwa nchi yetu.
DKT. MWIGULU AONGOZA KIKAO KAZI KUHUSU UJENZI WA MIRADI YA BARABARA ZA
HARAKA KWA UBIA WA MFUMO WA PPP
-
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 17, 2026 ameongoza kikao cha
kazi kuhusu ujenzi wa miradi ya barabara za haraka (Express Ways) kwa ubia
kupit...
59 minutes ago

No comments:
Post a Comment