Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, March 14, 2014

MAJINA YA WALIOITWA KAZINI SERIKALINI

OFISI YA RAIS
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA
UMMA

Kumb. Na EA.7/96/01/E/33 11 Februari, 2014
KUITWA KAZINI
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda
kuwaarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili tarehe 06
hadi 29 Januari, 2014 kuwa walioorodheshwa katika tangazo hili wamefaulu
usaili na wanatakiwa kuripoti kwa Waajiri wao kama ilivyooneshwa katika
tangazo hili.
BOFYA HAPA

No comments:

Post a Comment