Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, March 28, 2014

MATOKEO YA LEO YA KESI YA MAUAJI YA PISTORIUS KUMPIGA RISASI MCHUMBA WAKE HAYA HAPA



Mahakama yaahirisha kusikizwa kwa kesi ya Oscar Pistorius.
Kesi ya mwanariadha wa Afrika kusini Oscar Pistorius imeahirishwa baada ya mmoja wa mahakimu kuugua.
Mshindi huyo wa nishani ya dhahabu ya olimpiki , tayari alikuwa amewasili mahakamani ,ambapo alitarajiwa kuwa wa kwanza kujitetea.

Kesi hiyo sasa itaendelea tarehe 7 mwezi Aprili.
Oscar Pistorius amekana kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp kimaksudi lakini anakiri kufyatua risasi zilizomuua akidai kuwa alidhani ni jambazi aliyekuwa ameingia nyumbani mwake.
BOFYA HAPA NA ULIKE PAGE YETU KWA HABARI NYINGIII

No comments:

Post a Comment