Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, March 14, 2014

TANGAZO KUTOKA MANISPAA YA KINONDONI::SASA WAWEZA FANYA MALIPO YOTE KWA NJIA ZIFUATAZO

Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni inapenda kuwaatarifu wanainchi wote wa kinondoni kuwa sasa wanaweza   kulipia malipo yote ikiwemo kodi ya majengo na malipo mengine kwa njia zifuatazo.
  • CRDB BANK
  • MAX MALIPO
  • MPESA
  • TIGO PESA 
  • AIRTEL MONEY
LIPA KODI YAKO KWA WAKATI KWA MAENDELEO YA MANISPAA YETU YA KINONDONI.

No comments:

Post a Comment