Mama akiwa anashangaa jinsi ya kupita eneo la karibu na maghorofa ya jeshi mwenge,huku mwingine akimamua kuyavaa maji bila kujali .
Eneo la mtaa wa umoja street likiwa limejaa maji kutokana na mvua zilizonyesha leo jijini dar
Maji yakiwa yamezuia kabisa eneo la mtaa wa umoja mwenge kutokana na mvua kubwa zilizonyesha jijini dar.
Mtaro ukiwa umezidiwa na maji,na kupelekea kuja mpaka barabarani.PICHA NA DJ SEK BLOG
Wanafunzi 40 Mabalozi wa Utalii Watembelea Ngorongoro na Serengeti
-
Na Pamela Mollel,Babati
Wanafunzi 40 kutoka shule nne zilizopo ndani ya Hifadhi ya Jamii ya
Wanyamapori ya Burunge (Burunge WMA) wilayani Babati, mkoa wa M...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment