Mama akiwa anashangaa jinsi ya kupita eneo la karibu na maghorofa ya jeshi mwenge,huku mwingine akimamua kuyavaa maji bila kujali .
Eneo la mtaa wa umoja street likiwa limejaa maji kutokana na mvua zilizonyesha leo jijini dar
Maji yakiwa yamezuia kabisa eneo la mtaa wa umoja mwenge kutokana na mvua kubwa zilizonyesha jijini dar.
Mtaro ukiwa umezidiwa na maji,na kupelekea kuja mpaka barabarani.PICHA NA DJ SEK BLOG
WAZIRI WA FEDHA BALOZI OMAR KUSHIRIKI MKUTANO WA BENKI YA MAENDELEO YA
AFRIKA NCHINI CONGO BRAZAVILLE
-
Na Benny Mwaipaja, Congo, Brazaville.
Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amewasili nchini
Congo, Brazzaville, amabako atashiriki Mk...
53 minutes ago

No comments:
Post a Comment