Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Wednesday, March 5, 2014

TASWIRA ZA ENEO LA MWENGE JIJINI DAR LEO BAADA YA MVUA KUBWA KUNYESHA

 Mama akiwa anashangaa jinsi ya kupita eneo la karibu na maghorofa ya jeshi mwenge,huku mwingine akimamua kuyavaa maji bila kujali .
 Eneo la mtaa wa umoja street likiwa limejaa maji kutokana na mvua zilizonyesha leo jijini dar
 Maji yakiwa yamezuia kabisa eneo la mtaa wa umoja mwenge kutokana na  mvua kubwa zilizonyesha jijini dar.
 Mtaro ukiwa umezidiwa na maji,na kupelekea kuja mpaka barabarani.PICHA NA DJ SEK BLOG





No comments:

Post a Comment