Mama akiwa anashangaa jinsi ya kupita eneo la karibu na maghorofa ya jeshi mwenge,huku mwingine akimamua kuyavaa maji bila kujali .
Eneo la mtaa wa umoja street likiwa limejaa maji kutokana na mvua zilizonyesha leo jijini dar
Maji yakiwa yamezuia kabisa eneo la mtaa wa umoja mwenge kutokana na mvua kubwa zilizonyesha jijini dar.
Mtaro ukiwa umezidiwa na maji,na kupelekea kuja mpaka barabarani.PICHA NA DJ SEK BLOG
TCRA, TAMWA na JAB Wahamasisha Uwasilishaji wa Kazi za Samia Kalamu
-
Dar es Salaam, Juni 17, 2026 – Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kwa
kushirikiana na Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA) na
Bod...
5 hours ago

No comments:
Post a Comment