WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA
3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 06/03/2014.
|
[Mikoa ya Morogoro,Lindi na Mtwara]:
|
|
Hali ya Mawingu, mvua na
ngurumo katika maeneo mengi na vipindi
vifupi vya jua.
|
|
[Mikoa ya Tanga, Dar es
salaam na Pwani]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
[Mikoa ya Kagera na
Mwanza]:
|
|
Hali ya Mawingu, mvua na
ngurumo katika baadhi ya maeneo na vipindi vifupi vya jua.
|
|
[Mikoa ya Kigoma, Ruvuma na
Tabora ]:
[Mikoa ya Mara na
Shinyanga]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, Mvua
na ngurumo katika maeneo machache na
vipindi vya jua
|
|
[Mikoa ya Arusha,
Kilimanjaro na Manyara]:
[Mikoa ya ,Rukwa,
Iringa na Mbeya]:
[Mikoa ya Dodoma na Singida]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, Mvua
katika maeneo machache na vipindi vya jua
|
ANGALIZO:
- UPEPO MKALI UNAOFIKIA KM 30 KWA SAA UNATARAJIWA KATIKA BAADHI YA MAENEO YA MIKOA YA MARA, MWANZA, SHINYANGA, SINGIDA, DODOMA, MBEYA, IRINGA, NJOMBE NA RUVUMA.
- MVUA KUBWA INATARAJIWA KATIKA MAENEO YOTE YA UKANDA WA PWANI TAFADHALI CHUKUA TAHADHARI
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
|
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango cha
chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
|
ARUSHA
|
29°C
|
19°C
|
12:43
|
12:51
|
|
D'SALAAM
|
30°C
|
23°C
|
12:30
|
12:42
|
|
DODOMA
|
30°C
|
20°C
|
12:45
|
12:55
|
|
KIGOMA
|
29°C
|
20°C
|
01:09
|
01:19
|
|
MBEYA
|
26°C
|
14°C
|
12:52
|
01:09
|
|
MWANZA
|
30°C
|
20°C
|
12:58
|
01:04
|
|
TABORA
|
32°C
|
19°C
|
12:57
|
01:07
|
TANGA |
32°C
|
21°C
|
12:32
|
12:42
|
|
ZANZIBAR
|
30°C
|
25°C
|
12:30
|
12:42
|
Upepo wa Pwani:Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 20 kwa saa kutoka Kaskazini- Mashariki kwa Pwani ya
Kaskazini
na kutoka Kusini-Mashariki kwa Pwani ya Kusini.
Hali ya
bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi madogo.
Matazamio kwa siku ya Jumamosi:
08/03/2014: Mabadiliko kidogo.
Utabiri
huu umetolewa leo tarehe 06/03/2014.
Na: MAMLAKA
YA HALI YA HEWA TANZANIA.


No comments:
Post a Comment