Kabla
haijasahaulika namna alivyoweka historia katika tuzo za KTMA 2014 kwa
kuondoka na tuzo 7, Diamond ameandika historia nyingine kwa kuwa msanii
wa kwanza Tanzania kuteuliwa katika tuzo za BET zinazotolewa na kituo
cha Black Entertainment Television cha nchini Marekani. Diamond ameingia
kwenye kipengele cha msanii bora wa kimataifa Africa.
Pongezi
sana kwa Diamond na tunaamini mashabiki wote wa muziki nchini
wataungana kumpigia kura na kuhakikisha tuzo inarudi Bongo.
MPANGO WA VETA NA FUNDI MAHIRI KUKUZA MAFUNZO YA VITENDO KWA VIJANA
-
Katika jitihada za kuboresha ujuzi wa vitendo kwa wanafunzi wa ufundi
stadi, Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imezindua kampeni
ijulikana...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment