Kabla
haijasahaulika namna alivyoweka historia katika tuzo za KTMA 2014 kwa
kuondoka na tuzo 7, Diamond ameandika historia nyingine kwa kuwa msanii
wa kwanza Tanzania kuteuliwa katika tuzo za BET zinazotolewa na kituo
cha Black Entertainment Television cha nchini Marekani. Diamond ameingia
kwenye kipengele cha msanii bora wa kimataifa Africa.
Pongezi
sana kwa Diamond na tunaamini mashabiki wote wa muziki nchini
wataungana kumpigia kura na kuhakikisha tuzo inarudi Bongo.
MEYA KIBAHA KUTOA ZAIDI YA MILION 18 KUCHIMBA VISIMA VINNE KUPUNGUZA KERO
YA MAJI PANGANI
-
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha Disemba 22, 2025
Baadhi ya wananchi wa Mtaa wa Kidimu, Kata ya Pangani, Halmashauri ya
Manispaa ya Kibaha wanakabiliwa na uhaba...
10 hours ago


No comments:
Post a Comment