Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Thursday, May 15, 2014

GARI LATUMBUKIA MTARONI MUDA MFUPI ULIOPITA AMANA, ILALA

 Gari aina ya Rav 4 ikiwa imetumbukia mtaroni katika eneo la Ilala Amana, Barabara ya Uhuru na kupelekea kuharibika.Hakuna taarifa ya majeruhi wala aliyepoteza maisha ambayo tumeweza kuipata katika eneo hilo la tukio
Gari likiwa mtaroni.Picha na Josephat Lukaza wa Lukaza Blog

No comments:

Post a Comment