HAYA NDIO MAPENZI YA DHATI KWA TIMU;;TAZAMA PICHA ZA SHABIKI HUYU WA LIVERPOOL ALIVYOBAKI PEKE YAKE UWANJANI AKILIA KWA UCHUNGU BAADA YA TIMU YAKE KUTOA DROO NA CRYSTAL PALACE
Peke yake: mcheki shabiki mmoja wa Liverpool aliyebaki peke yake uwanjani baada ya Liverpool kutoka sare ya 3-3 dhidi ya Crystal Palace jana usiku
Machozi: Jamaa alishindwa kujizuia na kumwaga machozi
Mikono kichwani: Shabiki mmoja wa Liverpool hakuamini kilichotokea
Shabiki yule yule alionekana akiwa amebaki peke yake uwanjani baada ya mashabiki wote kuondoka katika uwanja wa Selhurst Park
WALIMU WA ZANZIBAR WATEMBELEA TANGANYIKA DC
-
Walimu kutoka Zanzibar wamewasili Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika kwa
ziara ya mafunzo na kubadilishana uzoefu na wataalam wa elimu, ili
kuimarisha mbi...
-
*MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka
Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu
kwenye ukum...
No comments:
Post a Comment