Rais
wa Angola Jose Eduardo Dos Santo akimkaribisha Rais Dkt.Jakaya Mrisho
Kikwete katika ikulu ya nchi hiyo jijini Luanda na kufanya naye
mazungumzo .Rais Kikwete alikuwa nchini Angola kwa ziara ya kikazi ya
siku moja(picha na Freddy Maro)
MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA SI YA TAKUKURU PEKEE-MAJALIWA
-
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa mapambano dhidi ya rushwa si
jukumu la TAKUKURU pekee bali kila Mtanzania anapaswa kushiriki kikamilifu
kusimamia ...
17 minutes ago
No comments:
Post a Comment