Muigizaji mkongwe nchini, Said Ngamba maarufu kwa jina la
Mzee Small amefariki dunia usiku huu akiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili
jijini Dar. Mzee Small amefariki kwa ugonjwa wa presha baada ya kuugua kwa muda
mrefu kabla ya kuzidiwa jana na kupelekwa Muhimbili. Mtoto wa marehemu aitwaye,
Muhidin amethibitisha kifo cha Mzee Small. MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI
PEMA PEPONI. AMEN!
Air Tanzania Yatua Victoria Falls kwa Mara ya Kwanza, Yaongeza Safari
Zimbabwe
-
NDEGE ya Shirika la Ndege Tanzania (Air Tanzania) imefanya first touch down
katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Victoria Falls, Zimbabwe, leo mchana
t...
6 hours ago


No comments:
Post a Comment