Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Monday, June 9, 2014

HOT NEWSSS::NYUMBA ZAIDI YA 4 ZABOMOLEWA NA VITU KUCHOMWA MOTO MKOANI RUKWA KWA TUHUMA ZA KUJIHUSISHA NA USHIRIKINA

 
Baada ya familia moja kupatwa ni msiba wa kijana wao aitwaye HAMIS SIMWANZA aliyefia kwa mganga wa jadi kijiji cha legezamwendo ilisababisha familia ile kuhisi kijana huyo amerogwa ndani ya familia hiyo na kupelekea kubomoa na kuchoma nyumba za washukiwa hao ikiwa ni tarehe 29/05/2014 hata hivyo polisi wilaya humo walikuwa mstari wa mbele kuhakikisha amani inarudi kijijini pale na kuondoa imani hiyo ya ushirikina katika  kijiji hicho ambacho kipo mpakani kati ya Mbeya na Rukwa 
 Nyumba ikiwa imechomwa moto kwa imani ya Kishirikina
 Nyumba Nyengine ikiwa imechomwa moto kwa imani za Kishirikina
 Nyumba hii pia imechomwa moto kwa imani za Kishirikina
 Nyumba ikiwa imebomolewa na kuchomwa moto kwa imani za Kishirikina
 Hii ndio balaa lililolikumba kijiji hiki baada ya kushukiwa ni wachawi na nyumba zao kuchomwa moto

 Mabaki ya Moja ya nyumba baada ya Kuchomwa moto
 Bomoa bomoa ikiwa inaendelea hapa walikuwa wanatoa mapaa kisha kubomoa nyumba hizo
 Walichoma kila kitu
 Mji umebakia magofu tuu

 Ni Uharibifu mkubwa
 Nyumba zote hizo zimeathiriwa
 Magofu baada ya kuchomwa moto

 Polisi wakiwa eneo la tukio kushuhudia kile kilicho tokea
 Hatari
 Mke wa Marehemu Hamis Simwanza aliyefia kwa Mganga wa Jadi
 Vitu Mbali mbali vikiwa vinachomwa moto
 Ni uharibifu tuu
 Shuhuda akiangalia uharibifu huo

 Majonzi




 Mama Mzazi wa Hamisi Simwanza ambaye alifariki akiwa anatibiwa kwa mganga

 Hasara



 Hakuna makazi tena

Picha zote na Rukwa yetu Blog

No comments:

Post a Comment