Waziri mkuu mstaafu an mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa
akifungua kitambaa kuashiria uzinduzi wa bwawa kubwa la maji la Leken katika
kata ya Seleli wilayani Monduli leo Ijumaa.Bwawa hilo ambalo limegharimu kiasi
Cha shilingi bilioni moja unusu, lina ukubwa wa kilomita tatu.
Mh Lowassa na mkewe wakivishwa nguo za kimasai ikiwa ni
ishara ya shukrani kutoka kwa wananchi wa Seleli,kwa kufanikisha ujenzi wa
bwawa hilo ambalo ni mkombozi mkubwa kwa wakaazi wa eneo hilo an maeneo ya
jirani
No comments:
Post a Comment