Wamewasili: Kikosi cha England baada ya kuwasili Rio de
Janeiro
KIKOSI cha England kimetuz Brazil leo baada ya safari ya saa
nane na nusu angani tayari kwa Kombe la Dunia.
Vijana wa Roy Hodgson waliwasili majira ya saa 8.30 mchana
mjini Rio de Janeiro baada ya kupaa katika anga ya Florida, Marekani usiku wa
jana.
Baada ya kutua timu hiyo liana safari nyingine ya saa moja
kuelekea hotel ini kwao, karibu na Ipanema Beach.
Nyota wa England, Wayne Rooney na Frank Lampard wakishuka
kwenye ndege
Wanajeshi wa Brazil wakiwa wamejipanga mstari nje ya hotel
ya Royal Tulip wakati England wanawasili




No comments:
Post a Comment