Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Tuesday, July 22, 2014

BASI LA SUPER NAJIMNISA LAPATA AJALI NA KUUWA


Hivi punde tumepokea habari mbaya kutoka mkoani Shinyanga, Basi la super Najimnisa limepata ajali mbaya baada ya mipira ya matairi kupasuka,unaambiwa wapo baadhi ya waliokufa na majeruhi ni wengi sana na bado hatua za kuokoa bado zinaendelea muda huu, tutaendelea kuwajuza kupitia kwa mtaoa habari wetu ambaye ni msanii alikuwa anatoka mwanza kuelekea Dodoma ambapo waliwa wanashoot muvi huko:











No comments:

Post a Comment