Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Sunday, July 13, 2014

KOCHA WA UJERUMANI AONYA, ASISITIZA REKODI MPYA KOMBE LA DUNIA LEO

Kocha Joachim Low, amesisitiza Ujerumani haimhofii Lionel Messi hata kidogo katika mechi ya fainali dhidi ya Argentina, leo.
Lakini akasisitiza kuwa, Ujerumani itaweka rekodi ya kuwa timu ya kwanza ya Ulaya kuchukua Kombe la Dunia katika ardhi ya Bara la Amerika Kusini.




No comments:

Post a Comment