Manchester United wameanza maandalizi yao ya ligi kuu kwa kuichapa LA Galaxy Goli 7 kwa Bila nchini marekani magoli hayo yalipachikwa na Danny Welbeck, Wayne Rooney (2), Reece James (2) na Ashley Young (2)
MIAKA 18 BAADAYE: JK AKUTANA TENA NA CATHERINE, BINTI ALIYEFANYIWA UPASUAJI
WA MOYO AKIWA NA MIAKA MINNE
-
RAIS mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, leo Mei 29, 2026
amekutana tena na Bi. Catherine P. Conrad Minja, aliyefanyiwa upasuaji wa
moy...
1 day ago




No comments:
Post a Comment