Dereva huyo baada la kulipita gari moja akitokea Zizi la
Ng'ombe ghafla akakutana na hiace mbele ambapo dereva wa daladala alipinda
kulia bila kuonyesha indictor kuelekea Kihodombi na kusababisha pikipiki
kuingia uvunguni mwa gari hilo ingawa daladala ilikuwa haina abiria hata mmoja
ndani yake. (
GCLA YASISITIZA USALAMA WA RANGI DHIDI YA SUMU ITOKANAYO NA MADINI YA RISASI
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) kupitia kituo chake
cha kudhibiti matukio ya sumu, kimewataka wazalish...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment