AJALI YATOKEA MKOANI MOROGORO BAADA YA LAND CRUSER KUGONGANA NA SCANIA
Gari aina ya Land Cruser lenye namba za usajili T 985 CYZ ambayo ni mali ya chama cha CCM likiwa limeharibika upande wa mbele baada ya kugongana na roli la mizigo mkoani Morogoro. Pia katika ajali hii hakuna mtu aliyefariki.
Wasamalia wema wakilitoa gari dogo barabarani kwa ajili ya kuondoa foleni iliyokuwepo eneo hilo
TBN yatoa Ufafanuzi Kuhusu Mkutano wa Ikulu
-
*Dar es Salaam.* Mtandao wa Wanablogu Tanzania (TBN) unapenda kutoa
ufafanuzi rasmi na kuweka mambo wazi kufuatia taarifa zisizo sahihi na
zinazoleta ...
-
*MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka
Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu
kwenye ukum...
No comments:
Post a Comment