Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Thursday, November 20, 2014

MMILIKI WA CLUB MAARUFU BUKOBA IITWAYO LINAS AFARIKI AKIFANYA MAPENZI NDANI YA GARI,POLISI WATHIBITISHA




Inasikitisha sana kifo cha huyu bwana Leonard Mtensa kilichotokea ndani ya gari lake, mpenzi wake anashikiliwa na polisi kwa uchunguzi zaidi. Hapa chini ni picha ya huyo dada na picha ya marehemu.



Jackline Hassan mwenye umri wa miaka 25 aliekuwa na marehemu 


Huyu ndie marehemu bwana Leonard Mtensa alikutwa na mauti ndani ya gari lake aina ya IST akiwa na mpenzi wake.

No comments:

Post a Comment