Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Wednesday, November 5, 2014

RAIS KIKWETE AZUNGUMZA NA WAZEE WA MKOA WA DODOMA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea risala toka kwa Mwenyekiti wa
Wazee wa Mkoa wa Dodoma Balozi Job Lusinde wakati wa mkutano na wazee wa mji wa Dodoma  Oktoba 11, 2014 waliouitisha ili kuzungumza naye maswala kadhaa ya maendeleo.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na wazee wa mji wa Dodoma jana
Oktoba 11, 2014 waliouitisha ili kuzungumza naye maswala kadhaa ya
maendeleo.


 
Sehemu ya wazee wakati wa mkutano wao na Rais Kikwete mjini Dodoma Oktoba 11, 2014 waliouitisha ili kuzungumza naye maswala kadhaa ya maendeleo.Picha na Ikulu

No comments:

Post a Comment